Zijue tabia 10 zinazoharibu figo, soma hapa kujua zaidi


Hizi hapa ni baadhi ya tabia 10 zinazoharibu figo:
  1. Kubana mkojo kwa muda mrefu
  2. Kutokunywa maji ya kutosha
  3. Kutumia chumvi nyingi
  4. Kula nyama mara nyingi zaidi
  5. Kutokula chakula cha kutosha
  6. Kuchelewa kujitibu maambukizi madogomadogo
  7. Kutumia visivyo dawa za maumivu
  8. Utumiaji wa madawa kwa ajili ya Insulin
  9. Kunywa pombe kupita kiasi
  10. Kutopata muda wa kutosha kupumzika
Previous
Next Post »