Taarifa
zilizotufikia hivi sasa ni kwamba wafanya biashara wa kariakoo wamegoma
baada ya mwenyekiti wao Johnson Minja kukatatwa,sababu za kukamatwa kwa
mwenyekiti huyo bado hazjajulikana. wafanya
biashara waliogoma ni husanini wenye maduka ya Nguo na Spea,mitaa yote
ya Congo,Sikukuu na Swahili,sababu za kukamatwa kwa mwenyekiti huyo
inadaiwa Ni uchochozi wa kuwataka wafanyabiashara kuacha kutumia machine
za Efds
EmoticonEmoticon