Jana December
10 2014 Watanzania walimpokea kwa shangwe mwakilishi wao kwenye BBAHotshots
Afrika Kusini, Idris ambae ndie alitangazwa mshindi wa dola za kimarekani laki
tatu siku kadhaa tu baada ya Diamond kuing’arisha Tanzania kwa kushinda tuzo 3
za Channel O.
Good news
nyingine ni mshiriki wetu kwenye Mashindano ya Miss World, Happiness Watimanywa
ambae saa chache zilizopita imethibitika kwamba ameiwakilisha vizuri Tanzania
na kuifanya iingie kwenye kumi bora za mashindano ya Miss World People’s
Choice.
Aliandika
kwenye instagram “Tanzania Asanteni kwa support na
uzalendo, tuendelee mpaka namba moja!!!!! #vote #PigaKura
#DownloadTheApp #MissWorld2014”– @happinesswatimanywa.
Katika list hiyo, Happiness ameshika nafasi ya tisa katika kumi bora kama inavyoonekana hapa chini.
uzalendo, tuendelee mpaka namba moja!!!!! #vote #PigaKura
#DownloadTheApp #MissWorld2014”– @happinesswatimanywa.
Katika list hiyo, Happiness ameshika nafasi ya tisa katika kumi bora kama inavyoonekana hapa chini.
EmoticonEmoticon