Mshindi
wa Big Brother 2014,Idris Sultan akizungumza na waandishi wa habari
(hawapo pichani) katika hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es salaam
leo,wakati akizungumzia ushindi wake na uzoefu alioupata katika Jumba
hilo la Big Brother huko nchini Afrika Kusini.Kulia ni Meneja Masoko wa
Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Furaha Samalu na kushoto ni Meneja
Uhusiano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi.
Mshindi wa Big Brother 2014,Idris Sultan akisisitiza jambo wakati
akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika hoteli ya Hyatt
Regency,Jijini Dar es salaam leo.
Idris akizungumza.
Alikuwa Mshiriki mwenza wa Idris Sultan,Irene Laveda akizungumza machache kwenye Mkutano huo.
Meneja
Uhusiano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi akizungumza
jambo wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam
leo.
Sehemu ya Waandishi wa habari waliofika katika Hoteli ya Hyatt Regency kumsikiliza Mshindi wa Big Brother 2014,Idris Sultan.
Wadau wakipiga picha ya pamoja na Idris na Laveda.
Mpiga picha na Blogger,Salma Msangi kazini
Wadau wakipiga picha ya pamoja na Idris na Laveda.
Mpiga picha na Blogger,Salma Msangi kazini
NA JIACHIE BLOG
EmoticonEmoticon