Mtuhumiwa namba mbili Joseph Ludovick (kulia) wa kesi ya kula njama za 
kutaka kumteka na kumdhuru Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi, 
Denis Msacky, akitoka nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam jana
 baada ya kuachiwa kwa dhamana. Kushoto ni rafiki yake, Hamfrey Masawe.  
 Hatimaye Ludovick Joseph Rwezaura amerejea uraiani baada ya 
kuachiwa huru kwa dhamana, katika kesi ya kula njama za kumdhuru Mhariri
 Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky.Rwezaura na Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare, 
anakabiliwa na kesi hiyo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
                
              
Rwezaura aliachia huru jana baada ya kutimiza 
masharti ya dhamana na Hakimu Aloyce Katemana, baada ya kusota mahabusu 
takriban miezi minne tangu walipopandishwa kizimbani kwa mara ya kwanza
 
 
EmoticonEmoticon