Tazama video Rais Magufuli Alivyohutubia kwa Kiswahili Huko Ethiopia

Jengo la amani na usalama lililopo makao makuu ya Umoja wa Afrika (AU) Mjini Addis Ababa nchini Ethiopia jana tarehe 29 Januari, 2017 limetangazwa rasmi kuwa litaitwa Mwalimu Julius Nyerere.

Rais Magufuli alipewa heshima ya kutangaza rasmi kuanza kufanya kazi kwa jengo


Previous
Next Post »