Waziri
 wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akisaini kitabu 
cha wageni alipowasili Ofisi ya mkoa wa Pwani kukagua utendaji wa kazi 
kuzungumza na wananchi pia kusikiliza malalamiko na kero zao kuhusu 
maswala ya ardhi alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika Wilaya ya 
Kibaha jana. 
Waziri
 wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akikagua mafaili
 ya hati za ardhi za wananchi yanayodaiwa kukaa kwenye shelvu kwa zaidi 
ya miaka mitatu pasipo kufikishwa kwa wahusika. Anayempa maelezo ni 
Afisa Ardhi Mteule, Majaliwa Jaffari. 
Waziri
 wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akikagua mafaili
 ya hati za ardhi za wananchi yanayodaiwa kukaa kwenye shelvu kwa zaidi 
ya miaka mitatu pasipo kufikishwa kwa wahusika. Anayempa maelezo ni 
Afisa Ardhi Mteule, Majaliwa Jaffari. 
Wantedanji na viongozi wakimsikiliza Waziri Lukuvi. 
Mkuu 
wa Wilaya ya Kibaha, Bi. Halima Kiemba akimsomea muhtasari Waziri wakati
 wa kikao na viongozi pamoja na watendaji wa wilaya hiyo Mkoa wa Pwani 
jana. Kutoka (kulia) ni Mkubge wa Kibaha, Mhe. Koka Foka na Katibu 
Tawala wa Mkoa huo, Mgeni Bauani. 
Waziri
 wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akiongea na 
wafanyakazi na watendaji wa Halmashauri ya Kibaha pamoja katika kikao 
nao kabla kuzungumza na wananchi na kusikiliza malalamiko na kero zao 
kuhusu maswala ya ardhi alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika Wilaya 
ya Kibaha Mkoa wa Pwani jana. 
Waziri
 Lukuvi akielekeza jambo alipotembelea eneo la Stendi ya mabasi eneo la 
Kibaha Maili moja na kujadili namna ya kufanikisha mradi wa ujenzi wa 
kituo hicho. Kushoto ni Mbunge wa Kibaha, Mhe. Koka Foka na Mkuu wa 
Wilaya hiyo Halima Kiemba. 
 Waziri
 wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akisikiliza kero
 za Bi. Zena Shabani kabla kupokea vielelezo vya malalamiko na kero za 
kuzulumiwa ardhi yenye hekari 50 kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la 
Nyumba la Taifa, Nehemiah Mchechu kutoka kwa Zena Shaban (85) alipokuwa 
katika ziara ya kikazi kusikiliza malalamiko ya wananchi Kibaha Mkoa wa 
Pwani jana.
 Waziri
 wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akisikiliza kero
 za Bi. Zena Shabani kabla kupokea vielelezo vya malalamiko na kero za 
kuzulumiwa ardhi yenye hekari 50 kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la 
Nyumba la Taifa, Nehemiah Mchechu kutoka kwa Zena Shaban (85) alipokuwa 
katika ziara ya kikazi kusikiliza malalamiko ya wananchi Kibaha Mkoa wa 
Pwani jana. 
Waziri
 wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi akipokea 
vielelezo vya malalamiko na kero za kuzulumiwa ardhi yenye hekari 50 kwa
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemiah Mchechu kutoka 
kwa Zena Shaban (85) alipokuwa katika ziara ya kikazi kusikiliza 
malalamiko ya wananchi Kibaha Mkoa wa Pwani jana. 
Mmoja wa wananchi waliohudhuria mkutano huo akitoa kero zake kwa Waziri. 
 
 










EmoticonEmoticon