Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akikagua gwaride la Vikosi vya Ulinzi liliandaliwa rasmi katika kilele 
cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika 
leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi wakati wa kilele cha
 sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo
 katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 
Dkt.salim Ahmed Salim wakati wa kilele cha sherehe za miaka 52 ya 
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan 
Studium Mjini Unguja.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe 
Magufuli wakati wa kilele cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu 
ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini 
Unguja.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na  Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Devis  
Mwamunyange  alipowasili katika  kilele cha sherehe za miaka 52 ya 
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan 
Studium Mjini Unguja akiwa mgeni rasmi katika sherehe hiyo.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na  Mkewe Mama Mwanamwema Shein mara  alipowasili katika  
kilele cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya 
Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na  Rais Mstaafu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  alipowasili katika  kilele cha sherehe za 
miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika 
Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akiteta na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe 
Magufuli wakati wa kilele cha sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu 
ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini 
Unguja.
Mke wa
 Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akisalimiana na Rais Mstaafu wa 
Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo katika killele cha sherehe za 
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52,zilizofanyika katika 
uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,ambapo mgeni rasmi  wa Zanzibar na 
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Pichani
 kutoka kushoto Rais Mstaafu wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi,Mke wa 
Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,Makamo wa Pili wa Rais Balozi 
Seif Ali Iddi na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis 
Mwamunyange  wakiwa katika   kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya
 Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja 
zilizofanyika leo.
Baadhi
 ya Wananchi na Maafisa mbali mbali wa Serikali wakiwa katika sherehe za
 Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52,zilizofanyika leo 
katika Uwanja wa Amaani Studium Mjini Unguja.
Waziri
 Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar 
Omar Othman Makungu wakati alipowasili katika uwanja wa Amaan Studium 
Mjini Unguja katika Kilele cha sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
 kutimia miaka 52,ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na 
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Rais 
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana 
na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange  
katika   kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia 
miaka 52 katika Uwanja wa Amaan Studium zilizofanyika leo.
Rais 
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana 
na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein    katika   kilele cha 
Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja
 wa Amaan Studium zilizofanyika leo.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akiwapungia mkono wananchi walioshiriki  katika   kilele cha Sherehe za 
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja wa Amaan 
Studium leo akiwa katika gari maalum.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akiwapungia mkono wananchi walioshiriki  katika   kilele cha Sherehe za 
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 katika Uwanja wa Amaan 
Studium leo akiwa katika gari maalum.
Rais 
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akiteremka katika gari maalum alilopanda wakati akiwasalimia wananchi 
katika kilele cha Sherehe za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia 
miaka 52 katika Uwanja wa Amaan Studium leo.
Baadhi ya Maafisa mbali mbali wa Vikosi vya Ulinzi na Taasisi za Serikali wakiwa katika sherehe za kilele cha Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kutimia miaka 52 zilizofanyika leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi wakibeba Picha la Marehemu Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mzee Abeid Karume wakati wa Maandamano ya kusherehehekea Kilele cha Mapinduzi Kutimia miaka 52 leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mjini wakibeba mabango yenye ujumbe tofauti kama yanavyoonekana wakati wa Maandamano ya kusherehehekea Kilele cha Mapinduzi Kutimia miaka 52 leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakinyanyua mikono juu kusherehekea sherehe za miaka 52 wakati wa kilele cha sherehe hizo zilizofanyika leo uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.
Vijana wa Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mjini wakipita mbele kwa heshma akiwa mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati wa Maandamano ya kusherehehekea Kilele cha Mapinduzi Kutimia miaka 52 leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kaskazni Unguja wakibeba mabango yenye ujumbe tofauti kama yanavyoonekana wakati wa Maandamano ya kusherehehekea Kilele cha Mapinduzi Kutimia miaka 52 leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
[Picha na Ikulu, Zanzibar.]
 
 

























EmoticonEmoticon