MAZISHI YA BABA YAKE DULLY SYKES YALIVYOFANYIKA JANA KWENYE MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR


Umati wa watu ukiwa katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam wakati wa mazishi ya baba yake mzazi ambaye pia ni msanii mkongwe mzee Ebby Sykes.
Waziri Mkuu mstaafu jaji Joseph Warioba akiweka udongo.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiweka udongo katika kaburi la msanii mkongwe mzee Ebby Sykes.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akiweka udongo katika kaburi la msanii mkongwe mzee Ebby Sykes.
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akiweka udogo katika kaburi la mzee Ebby Sykes
Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu akiweka udongo katika kaburi la mzee Ebby Sykes.
Dully Sykes (wa pili kushoto) akiwa ndani ya kaburi la baba yake mzee Ebby Sykes wakati wa mazishi yake.
Ndugu na jama wakishiriki mazishi.
Baadhi ya waombolezaji wakishiriki mazishi ya msanii mkongwe, Ebby Sykes yaliyofanyika leo kwenye makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Previous
Next Post »