GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015

wachezaji wa Ghana wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0 kwaiyo sasa Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye
fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa
penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki wenye mizimu ya kinyamulenge walianza kuwarushia makopo na chupa wacheza wa Ghana walivyokuwa wakielea kwenye vyumba vya mapumzikia.Uwanjani hapo hali haikuwa shwari kwa muda...
Uwanjani hapo hali haikuwa shwari kwa muda wa dk 30 baada ya kipenga sha mwisho wa.Polisi wakiwapandia washabiki jukwaani hili kuwaadabisha kutoka na vurugu hizo uwanjani hapoChupa za maji hiyo wakirushiwa wachezaji wa Equatorial Guinea kutoka kwa washabiki wenye jaziba baada ya timu yao kukubali kipindo.Helicopter ikizunguka eneo la uwanja kujaribu kuzima vurugu hizo baada ya kipenga cha mwisho Hapakutosha uwanjani hapo baada ya wenyeji kukubali kipigo cha bao tatu kwa kibuyu kutoka kwa vijana wa Kighana.
Previous
Next Post »