EMMANUEL OKWI AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE NAKALEGA!

ndoa 1

Mshambliaji wa klabu ya Simba na timu ya taifa ya Uganda,Emmanuel Okwi mwishoni mwa juma hili alifunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi Nakalega Florence.
ndoa
Ndoa hiyo ilifungwa mwishoni mwa juma hili nchini Uganda na kuhudhuliwa na ndugu jamaa na marafiki.

ndoaa
Miongoni mwa waliohudhuria harusi hiyo ni afisa habari wa Azam FC Jaffer Idd pamoja mtangazaji wa kituo cha Azam TV Patrick Nyembera.
Previous
Next Post »