PICHA ZAIDI AJALI YA BASI LA HOOD AMBAYO IMEGHARIMU MAISHA YA WATU WATANO ARUSHA


 Muonekano wa basi la Hood kwenda Mbeya baada ya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi ya leo.
 Wananchi wakiwa wamekusanyika baada ya basi la Hood kwenda Mbeya baada ya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha.
 Muonekano wa Hiace hiyo kwa mbele baada ya ajali.



Watu 5 wamekufa baada ya basi la Hood kwenda Mbeya kugongana na Hiace eneo la Kilala, Arusha asubuhi ya leo, wengi wajeruhiwa.
Previous
Next Post »