Gari la Freeman Mbowe lakamatwa na Polisi Kenya kwenye Msako wa magaidi




Screen Shot 2014-05-01 at 1.50.04 PM 
Ni magazeti kadhaa ya leo Tanzania ambayo yameripoti kuhusu kukamatwa kwa gari la Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe huko Mombasa Kenya.
Jambo leo wameripoti kwamba gari la Mbowe lililokamatwa ni lile la kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ambapo limekamatwa kwenye msako wa magaidi na uhalifu nchini humo na Polisi wanamsubiri Mbowe na Wenje kwa mahojiano.
Screen Shot 2014-05-01 at 1.58.14 PM 
Gazeti la habari leo limeandika kwamba gari la Mbowe lashikiliwa Mombasa, namba mbili za STK na KUB zatisha Polisi Kenya na dereva ahojiwa akihisiwa kuhusika na ugaidi.
Uhuru wameandika shangingi la Mbowe lakamatwa Kenya, alikwenda huko na Ezekia Wenje, dereva wake ahojiwa.
Previous
Next Post »