Inasadikika watu 7 kupoteza maisha kwa kufunikwa na kifusi Mkoani Kilimanjaro

DSCF7831

Mpaka sasa hazijatoka taarifa rasmi lakini inasemekana Gari aina ya fuso lenye namba za usajili T 167 AQG ambalo marehemu wa tukio hilo walikuwa wakijaza Moramu,wakati wakiendelea kujaza moram Gari liliangukiwa na ngema iliyokatika na kusababisha vifo vya watu sita.
DSCF7828Wananchi wa eneo hilo wameendelea kufukua udongo ili kuopoa  miili ya watu walofukiwa na kifusi katika machimbo ya Moramu eneo la Pumwani wilaya ya Moshi vijijini.
DSCF7824Mbali na wananchi pia Uongozi wa mkoa wa Kilimanjaro ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama ulifika kushuhudia zoezi la ukoaji wa miili ya watu hao.
DSCF7944

Previous
Next Post »