Mpaka
sasa hazijatoka taarifa rasmi lakini inasemekana Gari aina ya fuso lenye namba
za usajili T 167 AQG ambalo marehemu wa tukio hilo walikuwa wakijaza
Moramu,wakati wakiendelea kujaza moram Gari liliangukiwa na
ngema iliyokatika na kusababisha vifo vya watu sita.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon