WAZIRI FENELLA AKUTANA NA BONDIA FRANCOIS BOTHA (WHITE BUFFALO)




pix4-Copy 6e652 
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akielezea kufurahiswa kwake na ukuaji wa mchezo wa ngumi hapa nchini alipokutana na Bondia maarufu duniani na aliyewahi kuwa bingwa wa dunia mara mbili Francois Botha (White Buffalo) kushoto jana jijini Dar es Salaa.
Previous
Next Post »