Habari
Tulizozipata punde katika chumba chetu cha Habari zinasema Askofu Moses
Kulola wa kanisa la EAGT amefarika Dunia baada ya kuugua. Habari
kupitia Mtandao wa CITE zinasema amefariki leo asubuhi na habari hizi
zimethibitishwa na Mtoto wake Mchungaji Daniel Kulola.
Tutazidi kukupa habari kadri tunavyozipata.
Poleni wa Tanzania kwamsiba huu Mkubwa.
Endelea kufuatilia blog hii kwa habari zaidi
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

EmoticonEmoticon