Waziri
wa Katiba na Sheria Mhe:Mthias Chikawe. akitoa hotuba wakati akizindua
kitabu kiitwacho (Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya Tanzania)
kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
uokoaji Tanzania, Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba,uzinduzi huo
ulifanyika kwenye Hotel ya Peacock jijini Dar es salaam leo. (PICHA NA
PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE).
Waandishi
wa habari wakisikiza kwa umakini hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria
Mhe:Mathias Chikawe. wakati wa uzinduzi wa kitabu kiitwacho (Mabadiliko
ya Katiba na Hatima ya Tanzania)kilichoandikwa na Naibu Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji Tanzania, Luten Kanali Lindwino
Simon Mgumba.
Mtunzi
wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba na Hatima na Tanzania) Luten Kanali
Lindwino Simon Mgumba,akielezea maudhui ya kitabu hicho kabla
yakuzinduliwa.
Waziri
wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi akisisitiza jambo
wakati wa uzinduzi wa kitabu cha (Mabadiliko ya Katiba na Hatima ya
Tanzania) kilichoandikwa na Naibu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto
na uokoaji Tanzania, Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba.
Waziri
wa Katiba na Sheria Mhe:Mathias Chikawe(kulia)akikata utepe kuzindua
rasmi kitabu hicho(katikati) Mtunzi wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba
na Hatima na Tanzania) Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba(kushoto)
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi.
)
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe:Mthias Chikawe(kulia)akionesha kitabu
hicho mara baada ya kukizindua(katikati) Mtunzi wa kitabu cha (Mabadiko
ya Katiba na Hatima na Tanzania) Luten Kanali Lindwino Simon
Mgumba(kushoto) Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi.
Waziri
wa Katiba na Sheria Mhe. Mathias Chikawe(kushoto)akimkabidhi kitabu
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi. mara baada ya
kukizindua(katikati) Mtunzi wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba na Hatima
na Tanzania) Luten Kanali Lindwino Simon Mgumba (kushoto).
Wageni waalikwa mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Mtunzi
wa kitabu cha (Mabadiko ya Katiba na Hatima na Tanzania) Luten Kanali
Lindwino Simon Mgumba(kushoto)akisalimiana na Waziri wa mambo ya ndani
ya nchi, Mhe Emmanuel Nchimbi alipowasili kwenye ukumbi wa Hotel ya
Peacock jijini Dar es salaam leo wakati wa uzinduzi wa kitabu hicho.
EmoticonEmoticon