JAYDEE ASITISHA SHOO YAKE



Msanii mwa muziki wa kizazi kipya Judith Wambura 'Lady Jayde' amesitisha shoo yake ya uzinduzi wa albamu yake ya 'Nothing but Trust' iliyokuwa inatarajia kuzinduliwa mwisho mwa wiki hii jijini Dar es Salaam kwa kufwatia kifo cha msanii mwenzake Albert Mangwea aliyefariji jana nchini Afrika ya Kusini
Previous
Next Post »