Naibu
waziri wa Viwanda na biashara na mgombea ubunge wa jimbo la ileje mkoani
Songwe, Janet Mbene akisalimiana na vijana waliotokea kumlaki katika
kata ya isoko walayani hapo.
Naibu
Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akipokea zawadi ya ungo kutoka
kwa mwakilishi wa wasuka ungo wa bundali. Picha na Humphrey Shao.
Naibu
waziri wa Viwanda na biashara na mgombea Ubunge katika jimbo la Ileje
mkoa wa Songwe,Janet Mbene akitembea huku mamia ya watu wakimfuta nyuma
mara baada ya kumalizika kwa mkutano wake na wajumbe wa halmashauri wa
kata ya Isoko kuomba wamchague katika uchaguzi wa kura za maoni za CCM.
Picha na Humphrey Shao.
EmoticonEmoticon