Habarini watanzania, nimesema nitagombea jimbo la Bunda mjini lakini
sitogombea kwa tiketi ya CCM, sina ugomvi na CCM wamenilea na nimekulia
huko, na kutogombea kwangu kupitia CCM kusihusishwe na mtu na nafasi ya
Urais. Ila nimelitumikia Taifa langu nikiwa CCM naona nitalitumikia
Vizuri zaidi nikiwa kwingine. Kumbukeni chama ni njia ya kupita ila
umuhimu wa kulijenga Taifa letu ni la watanzania wote bila kujali vyama
vyetu. Mungu ibariki Tanzania.
KONA YA JAMII
NEWS
HUU NDIO UAMUZI ALIOUCHUKUA MBUNGE ESTER BULAYA NA KATIKA ACCOUNT YAKE YA FACEBOOK KAANDIKA HIVI
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon