UPDATE ZA AJALI YA BASI LA JORDAN KUTOKEA MWANZA KWENDA ARUSHA LILILOPINDUKA ENEO LA NJEGA MKOANI TABORA


Baadhi ya Majeruhi mara baada ya ajali hiyo kutokea.
 

 
Mtu mmoja amefariki dunia  na wengine  25 kujeruhiwa baada ya basi la Jordan lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Arusha kupinduka eneo la Nzega mkoani Tabora. Mtu huyo mmoja aliyepoteza maisha ni baada ya kulaliwa na basi hilo.
Basi hilo lenye namba za usajili T650 AQZ, inaelezwa kuwa lilipinduka baada ya kumshinda dereva katika eneo lenye kona kali.
Previous
Next Post »