Msanii Afande sele ajipanga kugombea ubunge 2015 kupitia Cdm



Afande Sele
Msanii wa muziki Afande Sele ambaye miezi kadhaa iliyopita aliweka wazi nia yake ya kuingia katika siasa na kugombea Ubunge, kwa sasa ndoto yake hii kwa mujibu wake inategemea mchakato wa Katiba utakavyomalizika.
fande Sele amesema kuwa, baada ya kuona taratibu zilivyo kwa mujibu wa Katiba ambayo wananchi wataikubali, hapo ndipo na yeye atapata nguvu na msimamo wenye uhakika katika malengo yake ya baadaye kisiasa.
Previous
Next Post »

EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng