Ndugu wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro wemelalamikia uongozi wa hospitali hiyo kufunga choo nyakati za jioni na kusababisha usumbufu kwa watu wanaolala hospitalini hapo kukosa sehemu ya kujisaidia ndugu hao wamesema licha ya kutozwa gharama kubwa za kulipia choo wanakosa huduma hiyo mara ifikapo nyakati za jioni hadi asubuhi na baabhi yao kulazimika kwenda kwenye mitaro ya barabara.
HUU NI UNYANYASAJI WALAH
Ndugu wa wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro wemelalamikia uongozi wa hospitali hiyo kufunga choo nyakati za jioni na kusababisha usumbufu kwa watu wanaolala hospitalini hapo kukosa sehemu ya kujisaidia ndugu hao wamesema licha ya kutozwa gharama kubwa za kulipia choo wanakosa huduma hiyo mara ifikapo nyakati za jioni hadi asubuhi na baabhi yao kulazimika kwenda kwenye mitaro ya barabara.
EmoticonEmoticon