UBELGIJI YAICHAPA MAREKANI 2-1



Golikipa wa MarekaniTim Howard akiokoa moja ya mipira iliyoelekezwa golini kwake.
Magoli ya Ubelgiji yamefungwa na K.De Bruyne dakika ya 93 na R.Lukaku dakika ya 105 wakati goli la kufutia machozi lilifungwa na J.Green dakika ya 107
 

Mashabiki wa Marekani wakiishangilia timu yao mpaka dakika ya mwisho
Previous
Next Post »