WAHOLANZI WAICHABANGA HISPANIA 5 -1 ROBBEN, VAN PERSIE MOTO MKALI!
Ndosi hiyo!: Robin van Persie akifunga goli kwa kupiga kichwa matata na kuisawazishia Uholanzi.
Kosa kubwa la mlinda mlango: Van Persie akimpoka Iker Casillas mpira na kufunga bao la nne.
Haamini: Casillas akitafakari baada ya kufungisha bao la nne, huku wachezaji wa Uholanzi wakishingilia bao hilo la Van Persie
Vikosi na viwango vya wachezaji katika mchezo wa leo kwa mujibu wa Joe Callaghan ambaye yupo mjini Sao Paulo. Alama zilizotumika ni 10.
Kikosi cha Hispania: Casillas 5, Azpilicueta 6.5, Sergio Ramos 5.5, Pique 5.5, Jordi Alba 7, Alonso 7.5 (Pedro 63), Xavi 7, Busquets 6, Silva 7.5, Diego Costa 7 (Torres 62), Iniesta 7.
Wachezaji wa Akiba: De Gea, Albiol, Javi Martinez, Juanfran, Villa, Fabregas, Mata, Koke, Cazorla, Reina.
Kikosi cha Uholanzi: Cillessen 7, Janmaat 6, Vlaar 7.5, De Vrij 7, Martins Indi 6.5, Blind 7, de Guzman 6, Sneijder 6, De Jong 6.5, Van Persie 8, Robben 8.
Wachezaji wa akiba: Vorm, Verhaegh, Veltman, Kongolo, Kuyt, Clasie, Lens, Fer, Huntelaar, Wijnaldum, Depay, Krul.
Mwamuzi: Nicola Rizzoli (Italia)
Mchezaji bora wa mechi: Robin van Persie na Arjen Robben
Mabao yote ya Uholanzi yalikuwa ya ajabu. Yote yalitengenezwa kwa pasi murua kutoka wingi ya kushoto kutokea kwa Daley Blind na pasi zilimaliziwa kwa ufundi tofauti na wachezaji Robin van Persie na Arjen Robben.
Magoli manne yalitokana na makosa ya mlinda mlango Iker Casillas. Kuelekea mechi ijayo itakayochezwa wiki ijayo ambayo Hispania wanahitaji ushindi- kuna hoja kuwa kipa wa Manchester United, David de Gea anaweza kumbadili mlinda mlango huyo mkubwa wa Hispania.
Bao la tano: Robben (kushoto) akiifungia Uholanzi bao la tano.
Stefan de Vrij (kushoto) akiifungia Uholanzi bao la tatu.
Hapa anageuzwa: Arjen Robben akimpiga chenga Gerard Pique
Iker Casillas (kulia) alipelekwa sokoni
Fungeni midomo: Diego Costa akiwanyooshea kidole mashabiki wa Salvador ambao walimzomea dakika zote alipokuwa uwanjani.
Costa aliangushwa na Stefan de Vrij na mwamuzi kuamuru mkwaju wa penati
Xabi Alonso alifunga penati hiyo
ANGALIA VIDEO UHOLANZI WALIVYOWACHAPA HISPANIA 5
CAMEROON WACHAPWA GOLI MOJA BILA NA MEXICO
LONG WAIT: ORIBE PERALTA (LEFT) GIVES MEXICO THE LEAD IN THE 61ST MINUTE |
Ahead: Peralta wheels away in celebration after given Mexico a deserved lead in the Group A clash |
Jubilant: The Mexico players celebrates the opening goal with the substitutes on the sidelines |
Bad day: Giovani Dos Santos saw two seemingly fair goals disallowed during the first half
One to forget: Samuel Eto'o missed a glorious chance to give his side the lead in the first half
Friday’s decisions were worse. Dos Santos was denied his first goal even though he was level with the last Cameroon defender and he was later ruled offside when the ball had gone to him via the head of opponent Eric Choupo-Moting.
They were probably relieved to see opponents Cameroon simply turn up after the Africans had arrived in Brazil 24 hours late because of a dispute over bonus payments.
Mexico manager Miguel Herrera, who optimistically believes his side can win the World Cup, controversially left out Javier Hernandez due to the Manchester United striker’s run of nine games without a goal for El Tri.
It didn’t take long for the Central Americans to realise
luck – and officialdom – would be against them. With Cameroon on the back foot, Hector Herrera roared forward after 11 minutes and played in a perfect cross for dos Santos to volley in
EmoticonEmoticon