MATOKEO YA MECHI ZILIZOCHEZA JANA KOMBE LA DUNIA HAPA





WAHOLANZI WAICHABANGA HISPANIA 5 -1 ROBBEN, VAN PERSIE MOTO MKALI!

Dutch destroyers: Robin van Persie embraces Arjen Robben on a superb night for Holland

Heading into the net: Robin van Persie hurls himself through the air to score a superb equaliser
Ndosi hiyo!: Robin van Persie akifunga goli kwa kupiga kichwa matata na kuisawazishia Uholanzi.
Calamitous error: Van Persie robs Iker Casillas to poke home Holland's fourth goal
Kosa kubwa la mlinda mlango: Van Persie akimpoka Iker Casillas mpira na kufunga bao la nne.
Can't believe it: Casillas looks downcast as the Holland players celebrate Van Persie's goal
Haamini: Casillas akitafakari baada ya kufungisha bao la nne, huku wachezaji wa Uholanzi wakishingilia bao hilo la  Van Persie

Vikosi na viwango vya wachezaji katika mchezo wa leo kwa mujibu wa Joe Callaghan ambaye yupo mjini Sao Paulo. Alama zilizotumika ni 10.
Kikosi cha Hispania: Casillas 5, Azpilicueta 6.5, Sergio Ramos 5.5, Pique 5.5, Jordi Alba 7, Alonso 7.5 (Pedro 63), Xavi 7, Busquets 6, Silva 7.5, Diego Costa 7 (Torres 62), Iniesta 7. 
Wachezaji wa Akiba: De Gea, Albiol, Javi Martinez, Juanfran, Villa, Fabregas, Mata, Koke, Cazorla, Reina.
Kikosi cha Uholanzi: Cillessen 7, Janmaat 6, Vlaar 7.5, De Vrij 7, Martins Indi 6.5, Blind 7, de Guzman 6, Sneijder 6, De Jong 6.5, Van Persie 8, Robben 8. 
Wachezaji wa akiba: Vorm, Verhaegh, Veltman, Kongolo, Kuyt, Clasie, Lens, Fer, Huntelaar, Wijnaldum, Depay, Krul.
Mwamuzi: Nicola Rizzoli (Italia)
Mchezaji bora wa mechi: Robin van Persie na Arjen Robben 
Mabao yote ya Uholanzi yalikuwa ya ajabu. Yote yalitengenezwa  kwa pasi murua kutoka wingi ya kushoto kutokea kwa Daley Blind na pasi zilimaliziwa kwa ufundi tofauti na wachezaji  Robin van Persie na Arjen Robben.
Magoli manne yalitokana na makosa ya mlinda mlango Iker Casillas. Kuelekea mechi ijayo itakayochezwa wiki ijayo ambayo Hispania wanahitaji ushindi- kuna hoja kuwa kipa wa Manchester United, David de Gea anaweza kumbadili mlinda mlango huyo mkubwa wa Hispania.
Bunch of fives: Robben (left) slams home Holland's fifth goal in their stunning victory
Bao la tano: Robben (kushoto) akiifungia Uholanzi bao la tano.
Stefan de Vrij (left) bundles the ball in at the back post for Holland's third goal
Stefan de Vrij (kushoto) akiifungia Uholanzi bao la tatu.
Turning him inside out: Arjen Robben gets past Gerard Pique after taking the ball down superbly
Hapa anageuzwa: Arjen Robben akimpiga chenga  Gerard Pique
Finish: Sergio Ramos can't close down Robben, who strikes the ball with his left foot

Net gain: Iker Casillas (right) is sent the wrong way as the ball goes into the goal
 Iker Casillas (kulia) alipelekwa sokoni
Happy Holland: Louis van Gaal high fives Van Persie after the forward's brilliant equaliser
Shut up: Diego Costa gestures to the Salvador crowd, who barracked him throughout the match
Fungeni midomo: Diego Costa akiwanyooshea kidole mashabiki wa Salvador ambao walimzomea dakika zote alipokuwa uwanjani.

On the way down: Costa is tripped by Stefan de Vrij and the referee pointed to the spot
Costa aliangushwa na Stefan de Vrij na mwamuzi kuamuru mkwaju wa penati
Spot on: Xabi Alonso rolls his penalty to the right of Jasper Cillessen and into the corner
Xabi Alonso alifunga penati hiyo

ANGALIA VIDEO UHOLANZI WALIVYOWACHAPA HISPANIA 5

CAMEROON WACHAPWA GOLI MOJA BILA NA MEXICO

LONG WAIT: ORIBE PERALTA (LEFT) GIVES MEXICO THE LEAD IN THE 61ST MINUTE


Ahead: Peralta wheels away in celebration after given Mexico a deserved lead in the Group A clash

Jubilant: The Mexico players celebrates the opening goal with the substitutes on the sidelines

Bad day: Giovani Dos Santos saw two seemingly fair goals disallowed during the first half

One to forget: Samuel Eto'o missed a glorious chance to give his side the lead in the first half
Friday’s decisions were worse. Dos Santos was denied his first goal even though he was level with the last Cameroon defender and he was later ruled offside when the ball had gone to him via the head of opponent Eric Choupo-Moting.
Before kick off, nearly 20,000 Mexican fans provided a party atmosphere in Natal despite pouring rain.
They were probably relieved to see opponents Cameroon simply turn up after the Africans had arrived in Brazil 24 hours late because of a dispute over bonus payments.
Mexico manager Miguel Herrera, who optimistically believes his side can win the World Cup, controversially left out Javier Hernandez due to the Manchester United striker’s run of nine games without a goal for El Tri.
It didn’t take long for the Central Americans to realise
luck – and officialdom – would be against them. With Cameroon on the back foot, Hector Herrera roared forward after 11 minutes and played in a perfect cross for dos Santos to volley in
Previous
Next Post »