ANGALIZO WAPENDWA

Sent as received! warning...madaktari hawashauri mtu unywe juisi ya majani ya mipapai coz kuna some zina sumu inayo lead to liver failure! yule dr aliyekufa wanaamini majani ya mpapai ndio yamemuua maana baada ya kunywa tu kesho yake ini lika fail maana kuna watu wanasema ukipata denge unywe majani ya papai au mbegu zake ni angalizo wapendwa.

EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng