TAZAMA VIDEO YA RIPOTI ILIYOZUA ZOGO JANA BUNGENI Anonymous 11 years ago Anonymous Zogo kubwa lilizuka Bungeni mjini Dodoma wakati wa uwasilishaji wa taarifa za kamati baada ya mmoja wa wenyeviti wa kamati hizo kudaiwa kukiuka kanuni wakati alipokuwa akisoma taarifa ya Kamati yake. Mwenyekiti wa Kamati Na. 1, Ummy Mwalimu, ametuhumiwa kukiuka kanuni kutokana na kutokusoma maoni ya timu yake kama yalivyoandikwa. Wajumbe wengine wamedai Mh. Mwalimu ametoa maoni yake binafsi ambayo hayapo kwenye taarifa rasmi ya kamati. Twitter Facebook Google Tumblr Pinterest Artikel Menarik Lainnya Tazama Dakika 54 za Mazungumzo Ya Rais Jkaaya Kikwete na Waandishi wa Habari Aliporejea Nchini Kutoka Kwenye Matibabu Nchini Marekani SAKATA LA FLORA MBASHA NA MUMEWE TAZAMA VIDEO HII AMBAYO FLORA ANAZUNGUMZIA YANAYOENDELEA SERIKALI YAOMBWA KUWEKEZA ZAIDI KATIKA VIJANA HOTUBA YA MWISHO WA MWEZI FEBRUARI, 2015, YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOTOLEWA TAREHE 1 MACHI, 2015 MAKUBWA TAZAMA VIDEO HII KIJANA MMOJA MKAZI WA KIJIJI CHA NYAMBOGO WILAYANI RORYA MKOANI MARA ALIYEKUWA AMEPOTEA KWA MADAI YA IMANI ZA KISHIRIKINA Kijana mmoja mkazi wa kijiji cha Nyambogo wilayani Rorya mkoani Mara, ambaye anadaiwa kuDUUU HII DUNIA INAMAMBO TAZAMA VIDEO MWANAUME AKATWA NYETI ZAKE KISA KAKATAA KUMNUNULIA POMBE MAKUBWA HAYA
EmoticonEmoticon