Mechi ya Ruvu Shooting na Azam imeahirishwa kutokana na uwanja wa mabatini Mlandizi Pwani kujaa maji ya mvua kubwa iliyonyesha leo.




RUVU SHOOTING 

VS


AZAM FC

Mechi ya Azam FC dhidi ya Ruvu iliyokuwa ilikuwa ichezwe leo kwenye Uwanja wa Mabatini mjini Mlandizi, imeahirishwa.

Mechi hiyo imeahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika eneo hilo.
Taarifa kutoka Kamati ya Ligi zinaeleza kuwa mvua kubwa na upepo zimesababishwa kuahirishwa kwa mechi hiyo.


Bado haijaelezwa kama itachezwa kesho au itapangiwa siku nyingine.

Previous
Next Post »