BASI LA HOOD LATEKETEA KWA MOTO ,ABIRIA WANUSURIKA WAHUSIKA CHUNGUZENI MABASI HAYA



Zaidi ya Abiria 55 waliokuwa ndani ya Basi la kampuni ya Hood, wakisafiri kutoka Mbeya kwenda Arusha walinusurika kufa baada ya Basi hilo kushika moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele-Chalinze Mkoani Pwani.

Previous
Next Post »