TUNDA MAN KUACHIA NGOMA 3 SOON



Msanii Tundaman baada ya mwezi wa Ramadhani na sherehe za Eid kukamilika, amejipanga kufanya mashambulizi ya nguvu kwa kuachia kazi kubwa tatu ambazo zitawapatia mashabiki kile walichokimiss kwa muda mrefu kutoka kwake.
Tundaman amewataka mashabiki wa kazi zake kujiandaa na video mpya ya Kaswida kutoka kwake, Video ya ngoma yake ya Wanaona Haya, na vilevile mkono mpya kabisa ambao ndio unamalizika studio, mkono ambao ndani yake anatarajia kusikika Bidada  Recho.
Tundama amewapatia taarifa hizi njema mashabiki wake kupitia mtandao wa Instagram ambapo wakati wowote kuanzia hivi sasa, Burudani mpya na kali kutoka kwake zitaanza
Previous
Next Post »