Rais Kikwete kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe.



THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
              press@ikulu.go.tz             

Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
      THE STATE HOUSE,
              P.O. BOX 9120,  
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete atahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kesho, Jumatano, Agosti 22, 2013 mjini Harare.

Rais Kikwete na ujumbe wake ameondoka nchini jioni ya leo, Jumatano, Agosti 21, 2013, kwenda Harare kuhudhuria sherehe hizo zinazofuatia ushindi wa Rais Mugabe na chama chake cha ZANU-PF katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini humo Julai 31, mwaka huu, 2013. Katika uchaguzi huo, Rais Mugabe alipata asilimia 61 ya kura zote.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
21 Agosti, 2013
Previous
Next Post »