WASHINDI WA TUZO ZA HABARI ZA TANAPA WATEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII AFRIKA YA KUSINI


IMG 9791 45373
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa nje ya nyumba ya Rais wa Kwanza mzalendo Nelson Mandela jijini Johannesburg, Afika ya Kusini. Kutoka kushoto ni Festo Sikagonamo (ITV), Albano Midelo (Nipashe), Phinias Bashaya (Mwananchi), Lilian Shirima (TBC 1) na Alex Magwiza (TBC Taifa).
IMG 9845 1c0f1
Washindi wa Tuzo za Habari za TANAPA wakiwa nje ya jengo la Makumbusho ya Ubaguzi wa Rangi
IMG 9916 6ce6b
Festo Sikagonamo akiangalia kwa umakini kitanda kilichokuwa kikitumiwa na Mzee Nelson Mandela
Previous
Next Post »