MAAJABU JOGOO ASIYE NA KICHWA ATEMBEA MTAANI

 

 Wakazi wa Kware eneo la Ongata Rongai katika Kajiado, huko Kenya wameshangazwa  na kuwa na mshtuko baada ya kumuona juu jogoo  aliyekatwa kichwa akikatiza mtaani na wao wanadhani alabda  katumika kwa madhumuni ya uchawi.

J ogoo  huyo ambaye alionekana bado kuwa  na nguvu za  kutembea pamoja na hali hiyo alionwa nyakati za majira ya jioni na baadhi ya wapita njia 

 Rachel Danson, mkazi  wa Kware, ambaye ana duka   karibu na jogoo huyo asiye na kichwa alipopatikana alisema  kuwa  asubuhi yake alikuta karatasi  nyeupe ya lailoni imewekwa  karibu na duka lake  

Hata hivyo anasema yeye hakusumbuka kufungua kikaratasi hicho sababu alijua tu ni taka ambazo zimetupwa tu hapo kando ya barabara  labda na wapita njia.


 

Previous
Next Post »