KINACHOENDELEA KESI YA MUME WA JOYCE KIRIA HENRY KILEWO NA WENZAKE



Leo mawakili wa pande zote wametoa maelezo yao huku Upande wa Henry Kilewo na wenzake wakitaka mahakama Kuu ifute mashtaka yanayowakabili kutokana na kutokuwa na uhalali wa kisheria. 

Mahakama Kuu kanda hiyo ya Tabora imepanga kuwa itatoa maamuzi yake juu ya shauri hilo ifikapo Agosti Tano mwaka huu
Previous
Next Post »