Cathe: Mimi ni mke mwema naijali ndoa ya yangu kumtunza mume wangu

Mwigizaji wa bongo movies anayekubalika kwa kuwa na tabia nzuri cathy ama Sabrina Rupi amesema kwamba yeye ni mke bora anayejua kumtunza mume wake na tofauti na watu wengi wanavydhani au kufikiria.

Akizungumza kwa simu kwenye interview tuliyofanya naye jana cathe amesema kuwa katika vitu anavyovijali sana ni ndoa yake na mume wake ambaye amesema kuwa hata akiwa popote lazima ahakikishe yupo salama na ana hali njema

Cathe ambaye pamoja na kuigiza anafanya biashara amesema kuwa ndoa ndo kitu muhimu sana kwake sasa katika maisha yake na kamwe hawezi kuruhusu skendo zimuharibie jina

Previous
Next Post »