Mwanamziki kutoka Kenya Jackson Makini a.k.a. Prezzo baada ya kurelease ngoma yake mpya iliyokwenda kwa jina la Liqher, sasa baada ya kuachia video hiyo katika hali isiyo kuwa ya kawaida picha zake akiwa mtupu yeye pamoja na wenzake zimesamba hizo zinasemakana ni katika hali ya kufurahii kichupa chake hich amcaho bado ni kipya kabisa
EmoticonEmoticon