RAIS DK.JAKAYA KIKWETE AITEKA IGUNGA LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono mamia ya wananchi wa Igunga katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ndutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutumia mamia ya wananchi wa Igunga katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ndutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga.
Mamia ya wananchi wakiwa wamefurika katika mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika uwanja wa Barafu mjini Igunga baada ya kuzindua ujenzi wa daraja la Ndutu pamoja na mradi mkubwa wa maji utaohudumia asilimia 70 ya wakazi wa Igunga.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia wananchi mbalimbali waliojitokeza katika mkutano wa hadhara mjini Igunga leo.
Wananchi wa Igunga wakipunga mikono wakati Rais Jakaya Kikwete alipokuwa akiwahutubua katika viwanja vya Barafu mjini Igunga leo.
Previous
Next Post »