Baada mitandao mbalimbali kuandika story kuzusha kwamba Professa Jay amekufa wakati si kweli ni story za kuzusha tu.Sasa leo Dj choka kwa sababu ni mtu wake wa karibu sana aliweza kuandika katika ukurasa wake wa facebook na kusema ni story za uongo sasa na mtu mzima Professa Jay naye akaweka wazi soma hapo.
HIVI HII TABIA YA KUSINGIZIA MASTAA WAMEFARIKI INATOKA WAPI
DJ CHOKA:KUNA WATU WANASEMA PROFESSA JAY KAFA NI UONGO SI HABARI ZA KWELI
EmoticonEmoticon