Odinga na Musyoka waungana 2013









Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga 


 Mahasimu wakuu wa kisiasa nchini Kenya, Waziri Mkuu Raila Odinga na Makamu Rais, Kalonzo Musyoka, Jumanne jioni walitia saini makubaliano ya kushirikiana kwenye uchaguzi mkuu ujao na hatimaye kuunda serikali ya muungano.

Hii ni mara ya pili kwa viongozi wa kisiasa nchini Kenya kutia saini makubaliano ya kushirikiana kwenye kampeni ya uchaguzi mkuu  unaotarajiwa kufanyika mwezi Machi mwakani.

Previous
Next Post »