
Muungano 
wa Vyama vya Upinzani nchi Kenya NASA umemtangaza mwanasiasa mkongwe 
nchini humo Raila Odinga kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa nchini 
kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika August 8 mwaka huu.Aidha, NASA 
imemtangaza Kalonzo Musokya kuwa mgombea-mwenza
Muungano 
wa Upinzani Nchini Kenya NASA, umemtangaza Raila Odinga kuwa mgombea wa 
nafasi ya Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa August 8, 2017

EmoticonEmoticon