Mazishi ya mpiga picha Mpoki Bukuku yalivyofanyika kijijini kwao Dodoma


whatsapp-image-2016-12-27-at-16-52-10
Mamia ya wadau pamoja na wale wa Tasnia ya Habari wameendelea kujitokeza kwa wingi katika mazishi ya mpendwa wao  aliyekuwa mpiga picha Mwandamizi wa Magazeti ya The Guardian Limited yanayochapisha magazeti ya Nipashe, The Guardian, marehemu Mpoki Bukuku (44) aliyefariki dunia havi karibuni  baada ya kupata ajali ya gari. Ambapo  mchana wa leo waliweza kujumuika pamoja kijijini kwao Msalato, Mkoani Dodoma na kufanya maziko hayo.
Katika tukio hilo, pia wadau hao pamoja na ndugu na jamaa walipata kuweka mashada ya maua kwa kuonyesha upendo kwa mpendwa wao pamoja na kumuombea kwa muumba katika kipindi hiki cha kifo chake.

Watoto wa marehemu wakiweka maua kwenye  kaburi la Baba yao mpendwa Mpoki Bukuku
whatsapp-image-2016-12-27-at-16-55-41
Baaadhi ya ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu wakiweka maua kwenye kaburi la Mpoki Bukuku
whatsapp-image-2016-12-27-at-16-55-17-1
Mama Mzazi wa marehemu akiweka maua kwenye kaburi la mwanae Mpoki Bukuku
whatsapp-image-2016-12-27-at-16-55-29
Mbunge wa Singida Kaskazini Mh. Lazaro Nyalandu akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Mpoki Bukuku
Previous
Next Post »