atika hatua ya kurahisisha upelelezi unaoendelea kufanywa na Jeshi la
Polisi kufuatia ufisadi wa makontena 349, sasa jeshi hilo kupitia kwa
Kaimu Kamishna Mkuu wa TRA wameamuru wafanyakazi wote wa TRA kuwasilisha
taarifa ya madeni na mali zao wanazo miliki ndani na nje ya nchi.
Amri hiyo imeelekeza kuwa, wafanyakazi wanapaswa kutoa taarifa kuanzia Disemba 2 hadi Disemba 15 na mfanyakazi yeyote atayekiuka amri hii atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.

Aidha, amri hiyo imetoa angalizo kwa wafanyakazi wote wa TRA kuwa, taarifa zitakazo tolewa ziwe sahihi kabisa bila kupotosha chochote kuhusu mali na madeni ya mfanyakazi.
Katika kusisitiza hilo, taarifa imetoa onyo kali kuwa endapo mfanyakazi atapotosha kuhusu mali zake na madeni, basi hatua kali za kinidhamu zitafuata dhidi yake.
Amri hiyo imeelekeza kuwa, wafanyakazi wanapaswa kutoa taarifa kuanzia Disemba 2 hadi Disemba 15 na mfanyakazi yeyote atayekiuka amri hii atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Aidha, amri hiyo imetoa angalizo kwa wafanyakazi wote wa TRA kuwa, taarifa zitakazo tolewa ziwe sahihi kabisa bila kupotosha chochote kuhusu mali na madeni ya mfanyakazi.
Katika kusisitiza hilo, taarifa imetoa onyo kali kuwa endapo mfanyakazi atapotosha kuhusu mali zake na madeni, basi hatua kali za kinidhamu zitafuata dhidi yake.
EmoticonEmoticon