KONA YA JAMII
NEWSSerikali imetoa siku 14 kwa waajiri kuhakikisha waajiriwa wao wa kigeni wana vibali na mikataba vinginevyo sheria itachukua mkondo wake.
Serikali imetoa siku 14 kwa waajiri kuhakikisha waajiriwa wao wa kigeni wana vibali na mikataba vinginevyo sheria itachukua mkondo wake.
Serikali
imetoa siku 14 kwa waajiri kuhakikisha waajiriwa wao wa kigeni wana
vibali na mikataba vinginevyo sheria itachukua mkondo wake. Agizo
hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,
Ajira,Walemavu na Wazee JENISTER MHAGAMA wakati alipokutana na watendaji
wa ofisi yake.
EmoticonEmoticon