Inasemekana Mchungaji huyo ni maarufu zaidi kwa miujiza katika Jimbo hilo.
Siku ya tukio wananchi walitonywa na muumini mmoja kuelekea nyumbani kwa mganga, anayesemekana ndiye ambaye humpa nguvu ya kufanya miujiza.
Baada ya kumtia mkononi Mchungaji huyo, wananchi walianza kumtembeza ‘uchi’ mitaani.
EmoticonEmoticon