Maiti 87 zapatikana jijini Bujumbura,polisi 8 wauawa


Maiti 87 zapatikana jijini Bujumbura,polisi 8 wauawa

Hali ya taharuki imetanda Burundi baada ya mili ya takriban watu 90 kupatikana imetapakaa mjini Bujumbura eneo la Nyakabiga. Burundi imeendelea kuzorota kisiasa na kiusalama tangu kutibuliwa kwa jaribio la kuipindua serikali mwezi mei kupinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa mara ya tatu.
Previous
Next Post »