BENKI YA CRDB YAKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA TUMA PESA NA SIMBANKING SHINDA PASSO


Mkurugenzi  wa masoko utafiti  na huduma  kwa wateja Bi.Tully Mwambapa aliyemwakilisha  mkurugenzi mtendaji wa Benki  ya CRDB  akimkabidhi funguo ya gari  mshindi wa gari aina ya paso Ndugu . Mwinyi Hamis Juma,baada ya kushinda shindano la Tuma pesa na simbanking Shinda Paso hafla ambayo  iliyofanyika June 16  katika tawi la Mwanjelwa, Jijini hapa. 


Mshindi wa gari akiwa katika gari lake


Wafanyakazi wa benki ya CRDB pamoja na wateja mbalimbali wa benki hiyo wakiwa katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa mshindi wa shindano la Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo nje ya ofisi za Benki hiyo Mwanjelwa jijini Mbeya June 16 mwaka huu,PICHA Jamiimojablog.




Mshindi katika picha ya pamoja na Mkurugenzi  wa masoko utafiti  na huduma  kwa wateja Bi.Tully Mwambapa pamoja na baadhi ya maofisa wa benki ya CRDB Tawi la Mwanjlewa jijini Mbeya



Mkurugenzi  wa masoko utafiti  na huduma  kwa wateja Bi.Tully Mwambapa akizungumza katika hafla hiyo.


Mkurugenzi  wa masoko utafiti  na huduma  kwa wateja Bi.Tully Mwambapa  akizungumza jambo katika sherehe za siku ya Mtoto wa Afrika ambayo ilijumuisha  wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na  watoto zaidi ya 50 walioletwa na wazazi wao kwa ajili ya kuwafungulia akaunti ya Jumbo Junior.






Previous
Next Post »