| HE!!! kumbe hawa si abiria ni madereva na makonda wa daladala nao wakihaha kutaka kutoa huduma lakini ndo hivyo wanasubiri tamko la viongozi wao |
| hatimaye bajaji zatinga kazini kuwahi fursa |
| Hapo kwenye Lori hakuna nauli ni msaada tu.(Picha na Fahari News) |
EmoticonEmoticon