BREAKING NEWS Anonymous 10 years ago Anonymous Kundi la Alshabaab wamefanya mashambulizi katika chuo kikuu cha Garissa kasikazini mwa Kenya karibu na mpaka wa Somalia na maafisa usalama wa Kenya wamethibitisha kuwa watu wawili wamefariki Dunia na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi hayo na wakazi wa eneo hilo wametakiwa kuaa mbali na eneo hilo Twitter Facebook Google Tumblr Pinterest Artikel Menarik Lainnya BREAKING NEWS MBUNGE WA TABORA MJINI ISMAIL RAGE NA WATU WANNE WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI ILIYOTOKEA MUDA SI MREFU HUKO DODOMA BAADA YA GARI WALILOKUWA WAKISAFIRIA KUPINDUKA Taarifa zinasema wanamajeraha na tayari wamekimbizwa hospitali afya zao zaendelea vizurI.WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO HUYU HAPA SURPRISE Vijalizo vya Jina Mhe. Picha ya Mbunge Jina la Ukoo: Majaliwa Jina la Kwanza: Kassim Jina la BREAKIN NEWZ!!:- JAJI LEWSI MAKAME WA TUME YA UCHAGUZI AMEFARIKI DUNIA Jaji Lewis Makame amefariki muda mchache uliopita katika Hospitali ya Trauma Centre Masaki, aliwahBASI LA KAMPUNI YA FIVE ALIANCE LATEKETEA KWA MOTO LIKITOKA MTWARA KWENDA DAR Hili ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es sMSIKITI WA MTAMBANI KINODNONI UNATEKETEA NA MOTO kwa habari kamili endelea kutembelea mtandao huu Breaking News waziri mkuu mstaafu Fredreck Sumaye ahama chama cha ccm na kuhamia upinzani Ukawa bila kutaja chama atakachokuwa ALIYEKUWA Waziri mkuu wa Serikiali ya awamu ya Tatu Fredrick Sumay
EmoticonEmoticon