ORIJINO KOMEDI WANUNUA NYUMBA 7 ZA NSSF ZENYE THAMANI YA MILIONI 840

Kundi la vichekesho la orijino Komedi limenunua na kuwakabidhi nyumba 7 wasanii wa kundi hilo zwnye thamani ya shilingi milioni 840 ambapo kila nyumba moja imenunuliwa kwa shilingi milioni 120

Previous
Next Post »