MTU NA MJUKUU WAKE PINDA AADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA UBABU RAHA



PG4A0074
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akigonganisha glasi na mjukuu wake Nicole katika mkusanyiko mdogo  na mfupi  sana wa kifamilia wa  kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwake  kwenye makazi yake  kwenye hoteli ya Stella Maris mjini `Dodoma August 12, 2014. Wengine pichani ni binti zake, Namsi (kulia) na Yusta. 
Previous
Next Post »